My friend umesikia kuhusu solar power,ni heri ukaanza kujipanga kuitumia,
Mie usiku huu wamekata na kurudisha ghafla TV, Fridge imeungua, nimepiga customer care wanatoa pole tu, na wamekata tena, hapa ni maeneo ya mbezi beach- jogoo, giza na joto hakulaliki, kesho unaamka kama mgonjwa, watanzania hebu tuungane huyu ngeleja na watendaji wake watoke pale, EWURA ndio sijui wako wapi! Nimeichukia serikali yangu kupita kiasi, huwa sipigi kura ila 2015 yangu moja lazima iongezeke. Mtu unafikia kuchukia uraia wako! Jamani TANESCO na wahusika wote mnatupa shida sana.