MATEO GODFREY
Member
- Apr 7, 2014
- 54
- 89
Madhara ya kununua bora gari matokeo yake unashindwa kulitunza au kulihudumia cheki ilo tairi limekuwa kipara kabisa .View attachment 3535855
Juzi nilibadirisha Wishbone, CV joints brake pads, Top mount kwenye hii Suzuki swift baada ya kupata ushauri kutoka kwa wadau WA jamii forum baada ya hapo kesho yake nikaipeleka kufanya wheel alignment kwenye servicebay ya Kituo Cha mafuta chenye jina kubwa sana pale Ununio jamaa alikuwa anachezesha camber bolts na spana na sehem zingine mpaka alipokuja maliza kazi yake chakushangaza Jana usiku nimekata kona Tairi ikacollapse namna hiyo
Relax tairi zimelika na CamberMadhara ya kununua bora gari matokeo yake unashindwa kulitunza au kulihudumia cheki ilo tairi limekuwa kipara kabisa .
Nilibadirisha Wishbone inakuja na ball joints zake completeMkuu ball joints ulibadiri? Hapo naona imekata/ au imechomoka.
Nilibadirisha Wishbone inakuja na ball joints zakeMkuu ball joints ulibadiri? Hapo naona imekata/ au imechomoka.
🤣🤣MkuuMadhara ya kununua bora gari matokeo yake unashindwa kulitunza au kulihudumia cheki ilo tairi limekuwa kipara kabisa .
Hii nchi naona mafundi pia Wana mchango mkubwa kwenye kuua hizi gari na hata kusababisha ajari, just imagine umejichonyoa speed halafu itokee hivo so hatari 🤔.View attachment 3535857
Japokuwa sio mtaalamu wa hizi mambo ila niliona kabisa kwenye screen Bado Kuna utofauti au negative camber haijaisha yote gari ilikuwa inavuta upande mmoja so nikacheck tyre pressure nikaona Kuna sehem inasoma 30 na mwengine 60 so nikajaza vizuri mbele (35) nyuma (40)