Sosthenes Maendeleo JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 2,743 Reaction score 1,735 Oct 27, 2015 #21 Ccm wamebakiza mabavu tu hawana sela kbs
Tee Bag JF-Expert Member Joined Dec 21, 2013 Posts 7,220 Reaction score 5,626 Oct 27, 2015 #22 Mungu wetu , mungu wetu mbona umetuwacha?
Lord Lofa JF-Expert Member Joined Dec 26, 2011 Posts 2,525 Reaction score 2,799 Oct 27, 2015 #23 Mzee Wa Chuga said: Majimbo ya kuokoteza akishinda moja bas wote keleleleeleeessss mwenye njaa ukimpa ukoko Click to expand... Na kushiba kote bado hata huo ukoko mnaung'ang'ania nyie watu vichwa vyenu vinapaswa kufanyiwa utafiti huu ulafi ni zaidi ya tamaa ya fisi
Mzee Wa Chuga said: Majimbo ya kuokoteza akishinda moja bas wote keleleleeleeessss mwenye njaa ukimpa ukoko Click to expand... Na kushiba kote bado hata huo ukoko mnaung'ang'ania nyie watu vichwa vyenu vinapaswa kufanyiwa utafiti huu ulafi ni zaidi ya tamaa ya fisi
N Nsaji Mpoki JF-Expert Member Joined Nov 5, 2007 Posts 396 Reaction score 68 Oct 27, 2015 #24 Mwakasaka ni mtu au jimbo?
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,117 Oct 27, 2015 #25 Huo sasa ni udikteta