Jirani yangu anauza Gari tajwa hapo juu, na sifa zake ni hizi zifuatavyo;
Engine Capacity : CC 660
Importation Date : September 2013 (1Yr +2Months hapa Tanzania)
Imported from : Japan
Odometer : 95,618km
Contact : 0768 87 56 59 (Namba ya Mwenye Gari)
Location : Sinza, Dar es Salaam Price: Tshs 5.3Mil
Mimi nikiwa connector maana yake nitakua dalali,
Mwenye gari ni jirani yangu, aliniomba nimtangazie humu, ukipiga utaongea nae yeye na mtamalizana wenyewe!!
Mimi nikiwa connector maana yake nitakua dalali,
Mwenye gari ni jirani yangu, aliniomba nimtangazie humu, ukipiga utaongea nae yeye na mtamalizana wenyewe!!
Mimi sio mtaalam wa magari, ndio maana sitaki kujihusisha zaidi. Wala sitaki kubeba mdhamana wa wewe au yeye. Ikitokea mkapatana ni nyinyi wenyewe. Na mkishindwana pia ni nyinyi wenyewe.
Ila gari ipo nimeiona, na leo nimeongea nae mwenyewe akasema bado ipo!!
Mkuu kwanza Pole sana,kwanza Tambua kwa vi Hijet haviwezi hii biashara kabisaa,na mwenye kujua nanunua Carry yenye kufaa biashara hii.Hata hizi Carry zinamatoleo ambayo ni bora zaidi kwa kazi ngum na nyingine ni Luxury.
Hii ni sawa na Pikipiki ya Boxer na SANLG,yaani zote ni pikipiki,lakini Boxer ni luxury na fuel consumption ipo chini sana,lakini kazi ngum sana haiwezi, mwezi tu unaiuwa,kama ukiipeleka milima ya mbezi kule au Pugu.
Wakati SANLG ni ni jembe kwenye kazi ngum sana,na inaweza kupiga kazi njia yoyote,na mazingira magum yoyote.Ila Fuel consumption yake pia ipo juu.
Sasa kila kitu kina mazingira yake.Hizo Hijet huku Zanzibar hata milioni tatu unapata,na hakuna anaezitaka.
Maana hata Driver ukimpa gari kwanza anauliza ni aina gani,akijua tu ni zenye usumbufu basi hachukui