Suzuki carry for sale

sunguraa

Member
Joined
Sep 19, 2009
Posts
18
Reaction score
0
Habari,
Nauza Suzuki carry bei 6.0M.
Ipo kwenye condition nzuri.
Ina Bima inayoisha Agust,2015 na kibali icha TRA kinachoisha July,2015.
Kama unahitaji please PM.
 

Attachments

  • IMG_3025.JPG
    556 KB · Views: 477
  • IMG_3027.JPG
    679.6 KB · Views: 480
  • IMG_3026.JPG
    404.9 KB · Views: 441
  • IMG_3028.JPG
    539.7 KB · Views: 493
Mkuu hiyo bei du........
 
Mkuu hiyo bei du........
Kiukweli hizi gari kwa sasa zimepanda sana....na huwezi kupata gari yenye engine bora kama hii,vibali,bima na tairi mpya kabisa..kiukweli gari ipo poa sana..karibuni wote.asante.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…