Habari,
Nauza Suzuki carry bei 6.0M.
Ipo kwenye condition nzuri.
Ina Bima inayoisha Agust,2015 na kibali icha TRA kinachoisha July,2015.
Kama unahitaji please PM.
Kiukweli hizi gari kwa sasa zimepanda sana....na huwezi kupata gari yenye engine bora kama hii,vibali,bima na tairi mpya kabisa..kiukweli gari ipo poa sana..karibuni wote.asante.