K kiface Senior Member Joined Jan 23, 2014 Posts 151 Reaction score 61 Feb 12, 2014 #2 Hata kwa viboko siogelei mimi hiyo beach,maana sipati picha huo mjiwe siku umeporomoka
kijani11 JF-Expert Member Joined Jan 19, 2014 Posts 8,348 Reaction score 9,082 Feb 12, 2014 #3 Iko fresh kweli.
Mndengereko JF-Expert Member Joined Mar 24, 2011 Posts 7,306 Reaction score 3,413 Feb 12, 2014 #4 Pamejiweka fresh utafikiri majukwaa ya viwanja vya mpira.
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Feb 12, 2014 #5 kiface said: Hata kwa viboko siogelei mimi hiyo beach,maana sipati picha huo mjiwe siku umeporomoka Click to expand... si ajabu watu wa hapo wanaamini ukioga humo unafanikiwa na kutatua matatizo kama yanakusumbua..
kiface said: Hata kwa viboko siogelei mimi hiyo beach,maana sipati picha huo mjiwe siku umeporomoka Click to expand... si ajabu watu wa hapo wanaamini ukioga humo unafanikiwa na kutatua matatizo kama yanakusumbua..
N Ngekewa JF-Expert Member Joined Jul 8, 2008 Posts 7,705 Reaction score 1,288 Feb 13, 2014 #6 Sunami hii si kumchokoza nyumbanikwe?
LexAid JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 1,931 Reaction score 774 Feb 13, 2014 #7 englibertm said: Click to expand... Mkuu, ungetoa na maelezo(Maybe names, location etc) kidogo tu kuhusu hizi sehemu ungeelimisha wengi sana. Pictures zako zinakubalika!
englibertm said: Click to expand... Mkuu, ungetoa na maelezo(Maybe names, location etc) kidogo tu kuhusu hizi sehemu ungeelimisha wengi sana. Pictures zako zinakubalika!
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Feb 13, 2014 #8 LexAid said: Mkuu, ungetoa na maelezo(Maybe names, location etc) kidogo tu kuhusu hizi sehemu ungeelimisha wengi sana. Pictures zako zinakubalika! Click to expand... Kuna tofauti kati ya kamera za kuweka filamu, na kamera dijitali Dijitali - Kabla ya kuikubali picha yako unaithaminisha kwanza Filamu - Mkanda unazunguka haijali pozi kama lilikuwa sawa, au lilikataa. Kinachofuata imekula kwako
LexAid said: Mkuu, ungetoa na maelezo(Maybe names, location etc) kidogo tu kuhusu hizi sehemu ungeelimisha wengi sana. Pictures zako zinakubalika! Click to expand... Kuna tofauti kati ya kamera za kuweka filamu, na kamera dijitali Dijitali - Kabla ya kuikubali picha yako unaithaminisha kwanza Filamu - Mkanda unazunguka haijali pozi kama lilikuwa sawa, au lilikataa. Kinachofuata imekula kwako
J jack biko Member Joined Apr 20, 2013 Posts 24 Reaction score 1 Feb 13, 2014 #9 hiyo ni mtwara mikindan karibun sana