Street ICT
Member
- May 3, 2015
- 6
- 2
Habari waungwana
Nimekuja kuitambulisha statups yangu hapa inaitwa Street ICT ni wazo nililoanzisha nikiwa chuo mwaka 2013 mwezi wa 10.
Street ICT inajishughulisha na
utowaji wa elimu hasa katika tehama katika shule za secondary na primary school.Pia kwa jamii na hata taasisi ambayo/ambazo zitakua na mahitaji.Kwa shule za secondary program hizi tunakua tunatoa bila gharama zozote cha msingi wanafunzi wawe na muamko.Pia kama unafaham shule yeyote ambayo ina hitaj huduma hii unaweza wasiliana nasi.
Kwa Ushauri/maoni
Unaweza kulike facebook page yetu yenye jina la StreetICT au unaweza kutwasiliana nasi kwa. barua pepe streetict@gmail.com au simu ya mkonon +255769913455
Nimekuja kuitambulisha statups yangu hapa inaitwa Street ICT ni wazo nililoanzisha nikiwa chuo mwaka 2013 mwezi wa 10.
Street ICT inajishughulisha na
utowaji wa elimu hasa katika tehama katika shule za secondary na primary school.Pia kwa jamii na hata taasisi ambayo/ambazo zitakua na mahitaji.Kwa shule za secondary program hizi tunakua tunatoa bila gharama zozote cha msingi wanafunzi wawe na muamko.Pia kama unafaham shule yeyote ambayo ina hitaj huduma hii unaweza wasiliana nasi.
Kwa Ushauri/maoni
Unaweza kulike facebook page yetu yenye jina la StreetICT au unaweza kutwasiliana nasi kwa. barua pepe streetict@gmail.com au simu ya mkonon +255769913455