SIYO SIRI MTOAUZI KASEMA YA KWELIKABISA COZ HATA MM NI MWANAFUNZI WA ST JOHN'S FIRST YEAR NASOMA BAF MAIN CAMPAS[MAZENGO-DODOMA]
HADI HII LEO NI WIKIYA 3 TANGU MATOKEO YA SEMISTER YA KWANZA YATOKE ILA WANAFUNZI TAKRIBANI ZAIDI YA 150 KATI YA 210 HAWAJAPATA MATOKEOYAO MM MWENYEWE NI MMOJAWAO
NA KITUKILICHOSABABISHA TUSIPATE MATOKEO NI KUGOMA KWA HALALI (nikisema kugoma kwa halali namaanisha tulifuata process zote na malalamiko etu kuhusu kubadilishiwa mwalimu wa hiyo kozi tulianza mwaka jana /2012/, kwa kuandikabarua kwa dean of faculty,dean of student na kwa DVCA)
PAMOJA NA KUFUATA HATUA ZOTE STAHIKI LAKINI BADO UONGOZI WA JUU WALIOGOPA KUTUBADILISHIA LECTURER,KWA HALI HIYO SISI WANAFUNZI TUKAWAOMBA HIYOKOZI TUISOME SEMISTER IJAYO LAKINI HATUKOTAYARI KUFUNDISHWA NA HUYO LECTURER (ALLEN MTETEMELA)
TULISEMA HIVYO MAANA TANGUMWEZI WA DECEMBER 2012 HADI TUNAKARIBIA KUFANYA UE HUYO LECTURER HAKUWAHI KUINGIA DARASANI NA HAPOHAPO TUNALAZIMISHWA KUFANYA UE
WAKATI MODULE KIBAO HATUJASOMA!
MGOMO HUO ULIKUWA KUTOFANYA MTIHANI WA BUSINESS LAW AMBAO LECTURER WA HIYO KOZI HAKUWA NA VIGEZO VYA KUFUNDISHA [KIWANGO CHA ELIMU]
ILA HIYO ILIKUWA SI HOJA KUBWA SANA KWANI KUNAMALECTURER WENGI AMBAO WANA BACHELOR NA WANAFUNDISHA
TATIZO LA HUYU LECTURER [ALLEN MTETEMELA] NI KUTOA LUGHA ZISIZOFAA KWA WANAFUNZI
MFANO; KUWAITA WANAFUNZI VILAZA
ANASEMA ''NIKIMTAKA MWANAFUNZI YEYOTE HUMU NDANI SIMKOSI'' [KUWA NA UHUSIANO WA KIMAPENZI NAWANAFUNZI]
KUWALAZIMISHA WANAFUNZI KUNUNUA VITABUVYAKE KWA BEI YA GHALI NA KUTUAMBIA USIPONUNUA UTAREPEAT KOZI
NA MWISHO KABISA ANASEMA ''MM NDO MTETEMELA HAKUNAMTU MWENYE MAMLAKA YA KUPINGA KAULIYANGU KTK HIKI CHUO''
HUYU JAMAA ANAJIFANYA MUNGU MTU KISA NI WATOTO WA MWENYECHUO MTETEMELA
HATA DVCA ANAMUOGOPA HUYU JAMAA....
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=NA]#NA JUTA[/URL] KWANINI NILIJAZA HIKICHUO
#NA MWAKA WA 2 KAMA MAMBO YATAKUWA POA NATAKA KUAMA KABISA!
Si kubaliani na wewe kama chuo kinaweza kuendeshwa bila prospectus na Almanac.Ninachojua mwanafunzi anajukumu la kuwa na prospectus anapoingia mwaka wa kwanza chuo chochote.Kingine aijalishi mtu kuwa n MBA asifundishe mtu wa MBA kinachoangaliwa ni uzoefu wa kazi na sio lazima Phd Holder,ninachojua kwa Stjohn dean wa faculty ya Business ni Phd Holder na full nbaa holder with international experience so my dear for stjohn you are wrong.Pia kingine ni kwamba mtu unapofukuzwa chuo kuna chanzo kwanini wasilalamike chuo kizima alalamike mmoja.Kuhusu vyeti ni vyuo vingi vinachelewa kutoa vyeti coz vyeti vya chuo sio kama vya sekondari vina utaratibu wake kuvitoa na vingi avichapishwi Tanzania.
business law si unajisomea tu? Acheni uzembe bana, mi nilifikiri core subject
Basi wangejisomea nyumbani tu kuna haja gani ya kulipa tuition fee then unakurupuka na kuandia 'si mngejisomea tuu' au unataka waende tuition kama chuo fulani hivi mjini?
alishafariki muda mrefu sanahivi professor mwaga bado yupo?
business law si unajisomea tu? Acheni uzembe bana, mi nilifikiri core subject
KWA ST JOHN BUSINESS LAW NI CORE SUBJECT.....
Pale first year wa BBA tunasoma kozi nyingi sana
kwa wale BBA wa kawaida wanasoma kozi 9 na wale BBA IN ED. Wanasoma kozi 11
na core subjects ni 6 na 7 respectively
yaani hapo ni mwendo wa kukariri tuu! Mwanzomwisho
mtu mwenye sifa za tutorial assistant kwa st john ni senior lecturer....
KWA ST JOHN BUSINESS LAW NI CORE SUBJECT.....
Pale first year wa BBA tunasoma kozi nyingi sana
kwa wale BBA wa kawaida wanasoma kozi 9 na wale BBA IN ED. Wanasoma kozi 11
na core subjects ni 6 na 7 respectively
yaani hapo ni mwendo wa kukariri tuu! Mwanzomwisho
mtu mwenye sifa za tutorial assistant kwa st john ni senior lecturer....
Mkuu naona ww ni mmoja wa wadau wa SJUT, either kifamilia au kiajira! Kwanza huyo dean FOCB i.e KI..NGA (kasoma malaysia kwenye chuo cha kata, ni shoga na anatabia za kuwalaghai wanafunzi wakike kwa kuwapa maksi na kuwala TIGO) mfano ninao demu wa jamaa yangu kamtigolize mpaka jamma wakabreak na GF wake, ni mtaalamu wa ndumba ile mbaya....! Wape salamu "ma-lecturer uchwaara" Jam....es, mzee wa Botswana, fadhi...l,.......etal
Kweli TCU NI JANGA NENDA NA CHA SAUT IFAKARA(ST FRANCICS) HAWANA HATA DARASA MOJA WAUNGAUNGA NAMADARSA YA CHUO CHA AMO IFAKARA SASA NI MIAKA MITATU TANGU KIANZISHWE...TCU wanachangia sana kuwepo kwa vyuu vikuu vya kibabaishaji. kuna vyuo havifai kuitwa vyuo vikuu kutokana na jinsi vilivyo, mfano ni Stefano Moshi Memorial University College (SMMUCO) cha Moshi, kuna wanafunzi waliacha masomo mwaka 2011 baada ya kugundua kozi wanazosoma hazijasajiliwa na TCU!
Tanzania ni nchi mojawapo katika Afrika inakimbizana na ujinga. Sisi sote ni mashahidi wa haya, nasema haya kwa sababu zaman chuo kilikuwa ni kimoja tu yaani UDSM lakini siku hizi kuna vyuo lukuki.
Ni vyema kuwa na vyuo vingi lakini TCU iwe inavihakiki ili kulinda ubora na mazingira ya wanafunzi kwenye vyuo hivi ili viwe na sifa na ubora. Hayo ni kwa ujumla. Moja ya vyuo hivi ni pamoja na St. John ambacho kinamilikiwa na Kanisa Anglikana Tanzania.
Uongozi wa chuo hiki hakiwajali wanafunzi wake kabisa na kupelekea kuwafukuza bila hata kufuata utaratibu kabisa wanapohoji maslahi yao au wakoseapo. Mfano wa mambo haya ni:
1. Wanachuo wanapokuwa na mashaka juu ya uwezo wa lecturer na kuhoji kiwango cha elimu yake (kwa kuwa hakuna prospectus). Watu wamesimamishwa kwa kuwa hilo ni kosa.
2. Wapo walimu wenye digrii ya kwanza ambao wanafundisha madarasa ya digrii.
3. Mwanafunzi anakaa miaka yote mitatu hajui hata prospectus ya chuo ikoje.
4. Menejimenti haifuati utaratibu wa kisheria katika maamuzi ya kisheria. Mfano, inafukuza wanachuo pasipo kufuata utaratibu.
5. Ni wiki jana tu wahitimu wa tawi la Dar wa mwaka jana wameandamana kudai vyeti vyao. Kwa haya na mengine mengi TCU na wamiliki wako wapi?