It saves Sitta Right, alipata nafasi ya kulinda heshima yake akakubali kuipoteza kwa tamaa na ubinafsi. Walimchuza Mpendazoe akaachia ngazi na kupoteza mafao yake, wao wakabana. Katumia mamilioni ya fedha za Mengi na TV yake kujijenga, alipochekewa na JK kambwaga kama mzigo nakukumbilia kusema eti alishtushwa na kuiuzulu kwa Lowassa, leo hii Jamani? Kakalia U speaker kwa faida yake binafsi, dictator mkubwa tazama alichokifanya pale ofisi za bunge, Ushenzi mtupu kajaza vijana wake wezi wezi wezi wakubwa, hebu fuatilieni walichofanya wakati wa mkutano wa bunge la jumuia ya madola, wizi mtupu yeye na watu wake na kuharibu kazi leo hii tanzania imeingia doa. Tunamjua tunasubiri muda wake tumkumbushe. Tazama hiyo ofisi ya mbunge wa Uyui ni nin hicho? hela za bunge fuatilieni mamilioni mia mia kila akienda jimboni, katibu wake mwizi kumbukeni habari ya kubadilisha namba za gari la serikali. Serikali ijayo hana chake, hivi nani kamdanganya atapewa uspika? Na huyo mama ni mgongwa gani anayeitiwa saa saba usiku ma gesti house waziri mzima? wemeonja asali wanachonga mzinga.... waende wamekula vya kutosha...