Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) na aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa Whatsapp au kawaida 0713218388 popote ulipo. Bei ni za kawaida mno. Karibuni!
nahitaji RAM ya laptop HP-COMPAQ nx0910 (DDR1 either 512MB or 1GB ) nitapata kwa sh ngapi? naomba bei kwa kila size hizo! gb
Betri ya Toshiba Satellite U305-S2806 inayoweza kuhifadhi charge kwa masaa 3 au zaidi ni bei gani?