Utandawazi ulipoingia duniani, na mawasiliano yakachukua nafasi yake tulifurahi sana. Lakini kilichopo nyuma ya pazia la utandawazi kwa maadili yetu si kitu chema kabisa.
Ukishindwa kujisimamia mwenyewe usitarajie kusimamiwa kikamilifu. Zaidi ya hapo utahalibikiwa zaidi.
Smartphone zimeleta madhara sana katika mapenzi na maadili katika jamii