sasa unataka tukushauri nini.? Haiwezekani tushauri upande mmoja, mlete na huyo demu wako hapa jf na yeye atoe yake, hapo ndipo tutapata pakuanzia.
NB. Hujui kutongoza, unatongoza na kusubiri jibu ili iweje.. na demu ameshakujibu ataaminije kama unampenda... Love is not words only it need more actions.