Simu zinauzwa bei ya kutupa

ressyrutta

Member
Nov 6, 2017
22
11
Simu zinauzwa bei simple
 

Attachments

  • IMG-20180815-WA0028.jpg
    76.8 KB · Views: 42
  • IMG-20180815-WA0029.jpg
    95.6 KB · Views: 51
  • IMG-20180815-WA0025.jpg
    83.7 KB · Views: 50
  • IMG-20180815-WA0024.jpg
    51.3 KB · Views: 47
Mmhh mm sijui kijadili siasa wadau am xo xory am spesfied ni commercial issues
 
Mmhh mm sijui kijadili siasa wadau am xo xory am spesfied ni commercial issues

Mkuu nakushauri uwe na tofauti kwenye lugha ya Biashara na ku Chat. Hiyo xo xory ..inapunguza kitu na mtu anaweza kukujudge kutokana na unavyo andika.
Hayo ni maoni
 
Mkuu nakushauri uwe na tofauti kwenye lugha ya Biashara na ku Chat. Hiyo xo xory ..inapunguza kitu na mtu anaweza kukujudge kutokana na unavyo andika.
Hayo ni maoni
Ok asante ntaiweka sawa ndugu
 
Hizi simu mbona zimekaa kiwizi wizi..tusije tafutwa na polisi hapa town.
Wabongo bhana ila ndivyo tulivyo kozi ukiambiwa kiatu Tsh 90000 ni bora unune kuliko kiwe Tsh 20000 upo tiari upoteze 50000 kwasababu hujui bei halis na haujui kwann kinauzwa Tsh20000 jamani kama unanua taratibu za manunuzi zinafahamika kama hunapesa unauchuna sio kutoa sifa mbaya kwa mtu mwizi "mwenyewe "
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…