Mkuu nakushauri uwe na tofauti kwenye lugha ya Biashara na ku Chat. Hiyo xo xory ..inapunguza kitu na mtu anaweza kukujudge kutokana na unavyo andika.
Hayo ni maoni
Mkuu nakushauri uwe na tofauti kwenye lugha ya Biashara na ku Chat. Hiyo xo xory ..inapunguza kitu na mtu anaweza kukujudge kutokana na unavyo andika.
Hayo ni maoni
Wabongo bhana ila ndivyo tulivyo kozi ukiambiwa kiatu Tsh 90000 ni bora unune kuliko kiwe Tsh 20000 upo tiari upoteze 50000 kwasababu hujui bei halis na haujui kwann kinauzwa Tsh20000 jamani kama unanua taratibu za manunuzi zinafahamika kama hunapesa unauchuna sio kutoa sifa mbaya kwa mtu mwizi "mwenyewe "