Aliye waita Simba Mbumbumbu alikua sahihi, yaani timu yao inagalagala mchangani alafu wana ambiwa imepandaki wango wana kenua meno kushangilia. Ivi timu ya simba imetolewa hatua ya mwanzo na timu iliyo itoa ata katika nafasi miamoja haimo wewe una ambiwa unashika namba 16 kwa ubora alafu unafurahi !!!.