Sio suala la usiku mmoja, hizo points za Al Ahly wanaweza wakashuka daraja huko kwao wasicheze champions league miaka 10 na bado tusizifikie points zao kwa muda wote huo wa miaka kumi, maana yake hao walio mbele yetu walishazikusanya points kitambo
Kwa akili za mpanda ngazi hushuka HAMTOBOI, akishuka bila wewe kupanda atakukuta hukohuko chini wote mtakuwa chini, acha akili za kichawi, usiwaze Simba kushuka, jipange umfuate huko huko juu ukampite hukohuko juu, juu Hakunaga mwisho
Kwa akili za mpanda ngazi hushuka HAMTOBOI, akishuka bila wewe kupanda atakukuta hukohuko chini wote mtakuwa chini, acha akili za kichawi, usiwaze Simba kushuka, jipange umfuate huko huko juu ukampite hukohuko juu, juu Hakunaga mwisho
Sasa mabingwa wa Tanzania wako nafasi ya kumi na tatu (13) hii ni kutokana na chati iliyotolewa leo na Shirikisho la mpira Afrika (CAF) kabla ya kesho kufanyika draw ya hatua ya robo fainali Klabu Bingwa Afrika.