Kwa hakika simba ninayoifahamu sio ile ya akina Mohamed Mwameja,Madaraka Seleman,Abdul Mashine na wengineo.hii timu tangu akabidhiwe huyu msomali bure kabisa.
Kwa hakika simba ninayoifahamu sio ile ya akina Mohamed Mwameja,Madaraka Seleman,Abdul Mashine na wengineo.hii timu tangu akabidhiwe huyu msomali bure kabisa.
we nae...!! Unaota nini? Unaleta habari za hao watu saa hizi? Waliwapa kombe gani hao kina Mwameja kama sio kulitia aibu taifa kwa Stella Abijo au ulikuwa hujazaliwa?