Siasa na mafreemason

Emwaay

Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
25
Reaction score
0
Kuna mambo tukiwa kama jamii lazima tuyachunguze na kuyaelewa kwa sababu yanatuzunguka au yanasemwa, na ikumbukwe lisemwalo huwa lipo. Ebu tujiulize kuwa na viongozi hasa wa kisiasa waliojiunga ktk imani binafsi ya mafreemason hawawezi kutupotosha kwa namna kadhaa hasa kulingana na sheria za imani hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…