B busamwa Member Joined Jan 26, 2015 Posts 20 Reaction score 1 May 1, 2015 #1 Rais jk ameongoza sherehe za meimos kitaifa kule mwanza na pia dk shein ameongoza kitaifa kule zanzibar. Kwakweli ninebak na utata kuhusu hili taifa nisaidieni wana jf
Rais jk ameongoza sherehe za meimos kitaifa kule mwanza na pia dk shein ameongoza kitaifa kule zanzibar. Kwakweli ninebak na utata kuhusu hili taifa nisaidieni wana jf
SIDANGANYIKI2015 JF-Expert Member Joined Apr 19, 2015 Posts 1,054 Reaction score 114 May 1, 2015 #2 Namshukuru JK ameahidi kuongeza kima cha chini cha mshahara na kupunguza kodi kwa watumishi wa umma!
tidav JF-Expert Member Joined Mar 31, 2013 Posts 262 Reaction score 40 May 1, 2015 #3 Taifa linahitaji mabadiliko halaka iwezekanavyo