Shamba linauzwa Kiwangwa

badspender1

Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
74
Reaction score
6
Shamba linauzwa lipo katika Kijiji cha Mtakuja-Kiwangwa.

Lina ukubwa wa Ekari 35.
Lipo umbali wa km 4 kutoka barabara kuu itokayo Bagamoyo -Msata.
Limepandwa mitiki na miembe

Bei ni Tsh milion 1.2 @ ekari

contact: 0765 178 494
 
Du, kwa bei hiyo kiwangwa ukiuza nami niite niuze la kwangu mkuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…