Mimi mara zote nasema Lema ni mpiganaji wa kweli...mpaka mkuu wa kaya anamgwaya pamoja na maneno makali alyopewa,,ni chungu lakini amemeza...hakuna ikulu,wala polisi aliyetia neno...
Kweli wewe ndo mbunge wa arusha, najua unajua watu wa arusha na tanzania wanataka nini? Kiukweli watu wa arusha hawana hata chembe ya uwoga...safi Lema umewakilisha vyema mji wetu...