Serikali ya Rais Samia ni sikivu na inaendelea kusikia maoni ya Watanzania juu ya bei za mafuta na hali ya mafuta nchini

Nasafi zimejaa au zimekwisha kiongozi.Teuzi z udalali bado zipo kwa DP-WORLD
 
Oya bado ujapata truxi tu su bado utoshišŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£
 
Ndugu Luca vipi kama ingekuwa sio sikivu nayo ungeyasemašŸ¤”
 
Umeshiba kande zako na ulanzi tayari
 
Wacheni Uhadaa na Upotoshaji.
Toka lini Serikali hii ikawa Sikivu? Kwa jambo lipi haswa? Labda ya Waarabu?

Msitakekutufullwalah

Ati inasikiliza Maoni, maoni yanasaidia nini na Ukosekaji wa Mafuta Nchini?
 
Hivi 'mujenzii' hauna namna nyingine ya kufikiri yaani kufikiri tofauti na walivyofanya walioko madarakani ili kuwasaidia kupata mawzo mapya ya kukabili changamoto? Ingawa simsemei rais ila kuna wakati nadhani huwa anakerwa na hizi sifa zinazozidi we mtu gani Kila kitu kusifia tu!!? Ina maana hauna kitu unachoona kinahitaji maboresho kidogo!? Kukosoa pia ni uzalendo cha muhimu kosoa kwa staha.
 
Wacheni Uhadaa na Upotoshaji.
Toka lini Serikali hii ikawa Sikivu? Kwa jambo lipi haswa? Labda ya Waarabu?

Msitakekutufullwalah

Ati inasikiliza Maoni, maoni yanasaidia nini na Ukosekaji wa Mafuta Nchini?
Serikali yetu ni Sikivu ndio maana kipindi cha mfumuko wa bei katika soko la Dunia ilipotokea kwa upande wa mbolea na mafuta tuliona ikitoa Ruzuku iliyoleta ahueni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreā€¦