-Malengo/shabaha za semina elekezi kwa watumishi wa serikali kule Ngurdoto zilikuwa nini?
-Mpaka sasa tunaweza kufanya tathmini yoyote kupima kama malengo hayo yamefikiwa au la? Na kama hayajafikiwa ni kwa nini?
-Malengo/shabaha za semina elekezi kwa watumishi wa serikali kule Ngurdoto zilikuwa nini?
-Mpaka sasa tunaweza kufanya tathmini yoyote kupima kama malengo hayo yamefikiwa au la? Na kama hayajafikiwa ni kwa nini?
-Malengo/shabaha za semina elekezi kwa watumishi wa serikali kule Ngurdoto zilikuwa nini?
-Mpaka sasa tunaweza kufanya tathmini yoyote kupima kama malengo hayo yamefikiwa au la? Na kama hayajafikiwa ni kwa nini?
Malengo yamefikiwa ndugu yangu.Lengo lao kubwa wala halikuwa ni kuelekezana ila ilikua ni kupeana ulaji na kufanya anasa.Hiki ndicho ninachokijua mimi.
Ni AIBU kwa viongozi wote waliohudhuria hizi semina. Inaonekana hawakuwa wanasikiliza na kujifunza bali walikuwa wanajinafasi kwa starehe wakishangaa mazingira ya Ngurdoto kwa gharama za wavuja jasho walipa kodi!
SHAME!
Walikuwa wanaelekezana namna ya kula pesa ya mlipa kodio na kuficha siri zote zina expose ulaji wao wa pesa za Umma . Wamefanikiwa kiasi fulani maana ambao hawakula wanatoa info kwa kuwa hawakupata lolote .