Selection zitatoka baada ya kombe la dunia kumalizika,na ndio michuano inaanza leo hii! So selection n tarehe 12 au 13 july 2014,kureport katika shule uliyo pangiwa n august mosi! Kwa wale mlio hitimu msikate tamaa kwan zimebakia cku chache! Cha kufanya wewe angalia comb gani ume balance vizuri ndio uta pangiwa hiyohi