Post za ualm zshatoka wantka one mpk three na four ya sate two mpka sate four so kama wewe wa one mpka three utajskia kusoma ualimu grade a n sawa au kama unataka kwenda five nayo pia ni sawa lakn sio kwamba et five n one na ttwo tu
Post za ualm zshatoka wantka one mpk three na four ya sate two mpka sate four so kama wewe wa one mpka three utajskia kusoma ualimu grade a n sawa au kama unataka kwenda five nayo pia ni sawa lakn sio kwamba et five n one na ttwo tu
Vip na hawa wa private schools wanaotangaza kuwa wanadahili wanafunzi kidato cha tano hata wakiwa na d3 au c1 na d2.. Wanasema wameruhusiwa na wizara ya elimu.. Kama kuna mtaalamu toka wizarani anieleweshe hili