pia apart from kutoa majib kwa web wanakutumia taarfa kwenye namba yako ya simu coz km mm kipind hiki wamenitumia na sms inasema hivi
Unajulishwa kuwa umechaguliwa kuhudhuria Usaili,
kwa taarifa zaidi tafadhali tembelea Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira
www.ajira.go.tz