wizi mtupu.... kwa hiyo hata kama shule haina ubora mnaangalia masirahi hamuoni hiyo mbinu inaingia kwenye wizi wa kuaminiwa. kikubwa chakuwashauri mjipange kuanzia chakula na maradhi halafu muweke walimu wenye ushindana ambao wataleta matokeo mazuri. baada ya kuona matokeo tutawaleta wenyewe bila kulaghaiwa na maneno.