Yani utampenda tu hata kama unatumikia uchawa, moyoni mwako unakubali tu kwamba dunia inaendelea kupata somo hata mama yao anakubali ufanisi wake! Watakuja kufanyia research hiki kichwa miaka ya baadaye wenye akili kujua cells za ubongo wake zina nasaba ya kibongo kweli? Huyu mnyaturu wa namna gani? Tusubiri tutajua tukiwa hai...
Au mwenzetu huyu ni alien? Mbona alama anazoacha zinavuka ufahamu wa kengez? Tangu LEAT kule Bulyanhulu nanteen kweusi, kupitia risasi za SMG/AKA47 zilizoshindwa, kuangusha mwamba njiani hadi hizi lectures mfululizo toka pale Kivukoni dah!
Anaangusha mnyama mojamoja kama kawaida ya simba, tutafikaga tu
Wapo wapi mkuu hao smart? Wamefichwa wapi? Wanakuja lini wanasubiriwa waje wapambane naye? Kumbe kuna smart people among kengez, mbona nchi na utawala mzima unaonekana mediocre? Hao smart bado wamepiga usingizi? Au ndo wale wa Udsm? Udasa?🙂
Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.
Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu
VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu
Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.
Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.
Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.
Wapo wapi mkuu hao smart? Wamefichwa wapi? Wanakuja lini wanasubiriwa waje wapambane naye? Kumbe kuna smart people among kengez, mbona nchi na utawala mzima unaonekana mediocre? Hao smart bado wamepiga usingizi? Au ndo wale wa Udsm? Udasa?🙂
Wapo wapi mkuu hao smart? Wamefichwa wapi? Wanakuja lini wanasubiriwa waje wapambane naye? Kumbe kuna smart people among kengez, mbona nchi na utawala mzima unaonekana mediocre? Hao smart bado wamepiga usingizi? Au ndo wale wa Udsm? Udasa?🙂
Yani utampenda tu hata kama unatumikia uchawa, moyoni mwako unakubali tu kwamba dunia inaendelea kupata somo hata mama yao anakubali ufanisi wake! Watakuja kufanyia research hiki kichwa miaka ya baadaye wenye akili kujua cells za ubongo wake zina nasaba ya kibongo kweli? Huyu mnyaturu wa namna gani? Tusubiri tutajua tukiwa hai...
Au mwenzetu huyu ni alien? Mbona alama anazoacha zinavuka ufahamu wa kengez? Tangu LEAT kule Bulyanhulu nanteen kweusi, kupitia risasi za SMG/AKA47 zilizoshindwa, kuangusha mwamba njiani hadi hizi lectures mfululizo toka pale Kivukoni dah!
Anaangusha mnyama mojamoja kama kawaida ya simba, tutafikaga tu