Hizo video ambazo huzioni kwenye hyo simu ndio hizo unaziona kwenye tab?
hapana nikichukua video kwenye tab naziona lakini hii simu nyingine nikichukua video sioni.kabisa nimetafuta kwenye galary sioni yaani nimepekuapekua simu yote hakuna ndugu sijui.zinakimbilia wap jamani