Tayo zeboss
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 467
- 196
(1)mkuu ndio mana nikasema kama umepungukiwa usiogope kusemaHivi kwanini mtu anunue simu used kama hiyo wakati sokoni mpya zipo na bei chee? Nikiwa na 300000 nikaingia Jumia online shopping wananiletea hadi nyumbani simu kali hadi mlangoni.
bei siyo kubwa sana mkuu kama ukiomba upunguziwe kwani nimeruhusu maongezibei kubwa sana.
mkuu inaonekana wewe ni mtumiaji mkubwa wa tecno uliebobea!kwa specifications za hiyo simu na muda ulioitumia ukimpata wa 100k pokea.