Samsung flat screen 43inch inauzwa

Status
Not open for further replies.

Lazarus

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2012
Posts
364
Reaction score
93
Nauza tv flat ya samsung inch43 kwa shillingi 950,000
 

Attachments

  • 1411547900663.jpg
    51.3 KB · Views: 411
  • 1411547919855.jpg
    42.7 KB · Views: 379
Samahani kaka. Usitumie hilo jina la Nabii Suleiman. Tumia Suleimani tu na ondoa hilo nabii. Usifanye mchezo na manabii.
Wallahu a'alam

Mkuu hili jina ndio nalitumia sehem zote nilizokaa na ntazokaa na sina mpango wa kubadilisha. Na sijafanya mchezo nalo mpaka sasa. Huna uwezo wowote wa kunipangia nachotaka. Sawa kijana.
 
Mkuu hili jina ndio nalitumia sehem zote nilizokaa na ntazokaa na sina mpango wa kubadilisha. Na sijafanya mchezo nalo mpaka sasa. Huna uwezo wowote wa kunipangia nachotaka. Sawa kijana.
Endelea kaka. Ila nimeshakufikisha ujumbe...Unatumia hilo jina la nabii halafu unacomment kwenye thread chafu za mapenzi n.k
 
Mkuu hili jina ndio nalitumia sehem zote nilizokaa na ntazokaa na sina mpango wa kubadilisha. Na sijafanya mchezo nalo mpaka sasa. Huna uwezo wowote wa kunipangia nachotaka. Sawa kijana.

jibu zuri sana!
 
Imeshachukuliwa ? nahitaji. Uko Kinondoni sehemu gani ?Je utanipa garantee ya muda gani ? Ni pim.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…