Ni makosa sana kujurge kwa makosa ya siku moja,Hata kwenye kazi tunazofanya mahofisini hatuko perfect kila siku na ufanisi wa mfanyakaz yeyote kuna ups and down nyingi tu.He did the mistake tena kwenye final na Liverpool lost but hyo sio sababu ya kumsema Kama unavyofanya!! Mbona Hugo Loris alichoma kwenye final France v Croatia na still anaanza Tottenham na still anadaka France Kama kipa Namba moja??
Baya moja au mawili YASIFUTE MAZURI YAKO YOTE MKUU