Saluni ya kiume for sale

bonde

Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
24
Reaction score
1
IPO tabata junction ya buguruni na ubungo.

SMS 0787123085
 
Funguka mkuu, hiyo saloon, inauzwa shilingi ngapi@? Inavifaa gani@?. Sifa ya mfanya biashara ni kumshawishi mteja,
 
Hahaha,nahisi anamaana ya pale Tabata Sheli ambapo kama sikosei moja kwa moja ndio unaelekeo Ubungo na ukipanda juu ni kuelekea Tabata Kimanga ile njia ya Tabata Bima.

Duuh km alimanisha ile round about ya tbt relini pale wanapokaa madalali karibu na shell na traffic lights basi jamaa ana F ya kuelekeza!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…