Kusomwa ni hatua ya kwanza lakini wanachohitaji hawa wahisani ni kuona wote waliohusika wanachukuliwa hatua ikiwa ni pamoja na kurudisha fedha hizo.
Kusomwa ni hatua ya kwanza lakini wanachohitaji hawa wahisani ni kuona wote waliohusika wanachukuliwa hatua ikiwa ni pamoja na kurudisha fedha hizo.
Na hapo ndio patamu sana!! Hii sio sawa na RICHMOND watu wanajiuzuru baada ya wizi halafu wanatumia hela walizoiba kutoa misaada makanisani na misikitini ili kutengeneza mazingira ya 2015!
Jana kuna habari zilirushwa kwenye stations za TV za upotevu wa computers za thamani ya milion mia mbili zilizopotea toka muda mrefu. Wahisani walio donate walipokuja kutembea na kuzikuta zimepotea waliamua kusitisha kutoa msaada. Na Mkuu wa Mkoa akiwa na wazungu akatoa kauli kuwa lazima wahusika wata wajibishwa.....
Msaada huo ulilengwa kwa shule.
Kwanini hakujua hilo toka muda mrefu, hadi wazungu waje ndio apate ufahamu?
Mgeni uje mwenyeji apone, suala hili ni halina tofauti na la ESCROW. Hivyo tatizo lipo toka chini hadi juu.
sababu kubwa ni kwamba ,rais kikwete amemwambia maikinda aruhusu iyo kitu bila kujali hata mahakama kwasababu misaada imezuiwa, serikali haina hela kabisa wafanyakazi wanaumia na bila suala hili kujadiliwa WAHISANI WALISEMA MSAADA HAUTOKI. ccm walishikwa pabaya.