rozay mnyama
Member
- Oct 2, 2015
- 9
- 1
WAKUU MSAADA KUTOKA KWENU PLEASE..mim napata kuchanganyikiwa nikiingia kwenye account yangu kweny make 2nd applications..inadai "cas has been closed to allow 2nd application processing" sasa mbna remain capacity zinapungua???? hao wa2 wanaofany remain capacity wan2mia ways gan..mf duse kwa bachelor of education in arts had tarh 30sept remain capacity ilkuwa 251 bt nw remain capacity-9...napata kuchanganyikiwa pleax naomb msaada
labda mgodi unakaribia kutema