Recategorization nifanyeje

benCNN

Senior Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
109
Reaction score
14
Nifanyeje ili nifanyiwe hii kitu nilikuwa idara ya Kilimo nkaenda chuo kusoma mazingira nifanyeje

Taratibu zake zikoje nihame idara
 
Nifanyeje ili nifanyiwe hii kitu nilikuwa idara ya Kilimo nkaenda chuo kusoma mazingira nifanyeje

Taratibu zake zikoje nihame idara

Wasilisha cheti kwa mwajiri km kuna nafasi wazi ya kada uliyosomea atakurecategorize
 
Ahaaa ila inakuaje wengine hawafanyiwi wanasema procedure zinasumbua au urasimu tu
 
Hii kitu naihitaji sana tafadhalini wadau mliopitia hapo mtujuze hatua zipi zinafuatwa
 
Re-categorization ina yafuatayo.
1. Inabidi uwaone HR wa wizara uliopo au utumishi aone sifa zako na kama horizontal recategorization inawezekana kulingana na structure ya mazingira.
2. Utaanza chini na usidhani utapita juuu.
3. Usipokuwa makini unaweza kupewa cheo amvacho hakijapewa mafungu.
4. Unaweza kulazimika kuhama wizara. Nk
 

Mambo ulio yataja jaribu yafafanue kidogo naweza nikawa nimeelewa kidogo hio namba mbili, mfano kama ni mhasibu unaanza na trainee, ni kwa hio namba mbili. Fafanua kidogo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…