Re: Nyumba inapangishwa

Karikenye

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
564
Reaction score
280
Natarajia kukabidhiwa apartment yangu kwenye maghorofa mapya ya ubungo NHC sometime in January 2014, nyumba ina two bed rooms, choo, bafu, sebule na Jiko IPO FIRST FLOOR nyumba ipo kwenye PRIME AREA rent ni 400,000/= In case you think of renting it just in box me!
 

mi mgeni dar Prime area ndio wapi, Ni-PM more details
 

Acha kufanya udalali wewe, kama una nyumba waachie wengine siku NHC ikianza kufuatilia wajanjawajanja kama wewe unaanza kulalamika, nafikiri hata mkataba wa NHC hauruhusu SUB-Let.........acha kuendeleza mnyororo wa ufisadi dogo.
 
Acha kufanya udalali wewe, kama una nyumba waachie wengine siku NHC ikianza kufuatilia wajanjawajanja kama wewe unaanza kulalamika, nafikiri hata mkataba wa NHC hauruhusu SUB-Let.........acha kuendeleza mnyororo wa ufisadi dogo.

Tangazo lake liko very clear kua atakabidhiwa apartment yake, iliyopo ubungo nhc. kwa taarifa tu incase huna ufahamu huo, nhc waliuza apartment zao ambazo zilikua kwenye ujezi.kwa sasa ndio zinakamilika.Tujifunze kusoma vizuri tangazo kabla ya kuanza kushambulia mkifikiri mnaonesha ujuaji wenu kumbe mna-expose ujinga wenu
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…