M mussa fakhir New Member Joined Aug 6, 2018 Posts 3 Reaction score 6 Jun 5, 2021 #1 Anayejua kuomba chuo tena baada ya kutoendelea na masomo;na kurudia chuo cha awali inachukua muda gani?
Anayejua kuomba chuo tena baada ya kutoendelea na masomo;na kurudia chuo cha awali inachukua muda gani?
M mussa fakhir New Member Joined Aug 6, 2018 Posts 3 Reaction score 6 Jun 8, 2021 Thread starter #3 degree ndg
Jazajuan Senior Member Joined Dec 9, 2017 Posts 184 Reaction score 318 Jun 10, 2021 #4 Nenda chuo ulichochaguliwa awali,watakupa barua ya kukutoa katika mfumo wa udahili... Kisha utaenda nayo tcu ambapo utapewa fomu ujaze ukiambatanisha na hiyo barua... Then utakuwa huru kuomba upya chuo
Nenda chuo ulichochaguliwa awali,watakupa barua ya kukutoa katika mfumo wa udahili... Kisha utaenda nayo tcu ambapo utapewa fomu ujaze ukiambatanisha na hiyo barua... Then utakuwa huru kuomba upya chuo