Wadada walivyoumbwa wanapendaga vitu vinavyovutia lakini visivyodumu wala visivyo na tija. Hata wanaume wanataka handsome bila kujua uwezo wake wa kumtosheleza, kumudu Majukumu ya familia.
Wanapenda Mume Mwenye Hela, bila kujua amezipataje au hizo hela zitadumu kwa muda gani.