Asalaaam, huyo ndugu yako Bado hajajua utofauti au bei? Mbona mie naona swala hill LIPO UCHIII KABISA . Kama ndg yako ni Mzee anunue Harrier Ila kama ni kijana under 45 anunue RAV 4. Naomba kuwasilisha.
Rejea kauli yako ya awali, nanukuu " Sins gari sitarajii kununua gari na wala siyajui magari " mwisho wa kukunukuu. Alafu unasema RAV 4 Tens na bei take ya MILION 34 ahahahahahaha
Rejea kauli yako ya awali, nanukuu " Sins gari sitarajii kununua gari na wala siyajui magari " mwisho wa kukunukuu. Alafu unasema RAV 4 Tens na bei take ya MILION 34 ahahahahahaha
Asalaaam, huyo ndugu yako Bado hajajua utofauti au bei? Mbona mie naona swala hill LIPO UCHIII KABISA . Kama ndg yako ni Mzee anunue Harrier Ila kama ni kijana under 45 anunue RAV 4. Naomba kuwasilisha.