RAV4 inauzwa

MAGARI7

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2016
Posts
2,401
Reaction score
1,308
Make : TOYOTA

Model : RAV4

Mileage : 117000km

Engine size : 2360cc

Fuel : Gasoline/Petrol

Drive : four wheels drive (4WD)

Steering : Right

Transmission : Automatic

Ex. Color : Silver

Manufactured year/month : 2006/3

Door : 5

Seat : 5

FEATURES

Airbag * Alloy Wheels * Rear Spoiler * FOG HID Back Tyre * NaVigation * Power Steering * Power windows *

STEREO

2DIN-SIZE * NaVIGATION * TV * CD RADIO.

Price : Tshs 29,800,000/=

(Fixed price )

BEI INAKUA IMEJUMLISHA PAMOJA NA ;

Ushuru ✅
Port charges ✅
Agency fees ✅
Marine insurance ✅
registration ✅
Bima ya barabarani ❌



Ikiwa una ;

Maswali
Maoni
Ushauri

Usisite kutuandikia hapo kwenye "comment section" au kwenye inbox (private message/direct message)

Au kupitia barua pepe :
ecarstanzania@gmail.com

Karibu!



 
We jamaa bei zako ziko juu sana..ndio maana unapotezewa. Inaonekana hii biashara umeivamia, angalia bei za wauzaji wenzako wa magari.
 
Bwana MAGARI mi nikupongeze kwamba huwa unajitahidi kuuza magari mazuri pamoja kuweka details zote muhimu za magari hayo unayokuwa unauza, lakini tatizo ni moja tu; nalo ni kwamba BEI zako huwa Mara nyingi ziko juu kitu ambacho wengi hukiogopa mi nikiwa mmojawapo. Rekebisha suala la bei na biashara yako itakuwa nzuri.
 
ARV : Ahsante kwa maoni yako!

Usiwe unasikiliza maneno ya watu, wanao comment wengi hawamiliki magari na kwa hiyo hata bei hawajui !!!

Mimi binafsi niliuza Rav 4 new model kama 2 weeks ago kwa 33.5 milllion !!! Showroom nyingi wanauza Rav 4 new model 33 - 36 milllion
 
Where d
Look for cars which you can afford , High end cars are for a special category of people !!!!
Do you think you can manage to capture those special people here?

You might be right but at the wrong place! U have failed to launch an advert be in TV or radio in contrary u call yourself special while possessing a fake ID.
 
Munawar usichafue hali ya hewa katika uzi wa mwenzio
Na mineno yako ya shombo
 
Where d

Do you think you can manage to capture those special people here?

You might be right but at the wrong place! U have failed to launch an advert be in TV or radio in contrary u call yourself special while possessing a fake ID.

Why would I have a fake ID ???? Interesting
 
Nitafutie old model rangi silver au nyeusi budget mil 15.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…