kwa anayehitaji ramani za bei reasonable na ushauri wa bure,kuna bwana mmoja wa arusha anachora ramani nzuri tu,kwa bei nzuri.anapatikana kwa namba 0754205939-anaitwa Temu.anafanya kazi nzuri kwa kweli,mtu akifanya jema anastahili,kusaidia wanaJF pia