Safi sana Kimei, hapo ajira zote wapeleke Watz, hao Waburundi unawapa kazi non professional kama kufagia na kudeki tu. Tunaona Wakenya, Wahindi na watu wengine wanaokuja kuwekeza TZ wanakuja na watu wao hata kwa kazi ambazo zinaweza kufanywa na wazao, kwa nini na sisi tusifanye hivyo?