R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,564
Hii ni sehemu ya mbele ya jengo la benki ya CRDB Burundi ambalo litazinduliwa Ijumaa hii na raisi wa Burundi,mheshimiwa Pierre Nkurunziza. mojawapo ya jitihada hizi za benki ya CRDB kuwa benki ya kwanza ya kizalendo kutoka Tanzania kuvuka mipaka.
crdb na kimei walipitisha hela za wizi za epa kwenye benki yao...
hii ni benki ya kifisadi
sorry kama umeajiriwa crdb but truth be told..huyo kimei analalamikiwa na wafanyakazi wenzake kuwa hela za benki anaziingiza kwenye speculation and hedging practices for personal gainsMmeshaanza Wtz,
sorry kama umeajiriwa crdb but truth be told..huyo kimei analalamikiwa na wafanyakazi wenzake kuwa hela za benki anaziingiza kwenye speculation and hedging practices for personal gains
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us