Raha za Chit-chat

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,270
Nampongeza aliyebuni jukwaa la chit-chat.Hakuna stress wala kununiana.
Unaingia unatoa viblahblah vyako vya dizaini yoyote kisha unasign off.
Umemaliza, na hakuna mod atakayekukunjia ndita eti sijui umrvunja
sheria ya jf.

Kama hii thread ninayoandika. blahblah moja kavu sana ila yenye sababu
kubwa mno Invisible ndiye pekee anayeijua sababu ya thread hii.

Kama huna ishu kwenye siasa au jamii photos njoo chit-chat utuambie
kwa nini ukipiga miayo unatoa sauti.

Nawashukuru, kuna kitu najaribisha hapa!
 
Last edited by a moderator:
Mi hata sijui........kwa nini w/end sio siku tatu..........
 
Kuanzisha thread ni ngumu ujue.......
Ngoja nikusaidie kukupa kidokezo cha thread nzuri ya chit-chat.
Lete thread ya kueleza/kushangaa kwa nini:

1.Umeme hauna kiuno lakini unakatika sana.
2.Msichana akivunja ungo hagombezwi kwa kuharibu chombo muhimu na mama yake
huendelea kupepeta mchele kwa kutumia ungo.
 
mi naona@ invisible uniadd jukwaa la wakubwa nkashare na watu wazima wenzangu huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…