Namtafuta best friend wangu JESCA NAIMAN MOIRO kutoka Baraa,Mashono ,Moivaro Arusha, Tulisoma naye Tabora Girls miaka ya 1982-1986.
Alibahatika kuendelea na masomo SUA FIRST NA SECOND DEGREE,Hapo ndipo tulipotezana kabisa. Mwenye kujua habari zake popote alipo pls anijuze hapa JF. Mie niko Ughaibuni kwa sasa hivi
Namtafuta best friend wangu JESCA NAIMAN MOIRO kutoka Baraa,Mashono ,Moivaro Arusha, Tulisoma naye Tabora Girls miaka ya 1982-1986.
Du! Kidogo umri utakuwa umesogea, na atakuwa mwalimu ngoja nitakushtua soon...
aaah kwa hiyo unaenda kumsaka huko aliko?
Jesca huyo namfaham alikua anakaa Baraa karibia na kanisa.KWA SASA WAMEHAMA WAMEHAMIA KWAO.Kwani hujui ameolewa na wamesha hamia kwao?
kwao mbinguni? hili jibu limenichekesha sana.Jesca huyo namfaham alikua anakaa Baraa karibia na kanisa.KWA SASA WAMEHAMA WAMEHAMIA KWAO.Kwani hujui ameolewa na wamesha hamia kwao?
Jesca huyo namfaham alikua anakaa Baraa karibia na kanisa.KWA SASA WAMEHAMA WAMEHAMIA KWAO.Kwani hujui ameolewa na wamesha hamia kwao?