MOSCOW (AP) -- Russian President Vladimir Putin says that a plan for Syria to turn over its chemical weapons stockpile will only work if the United States agrees not to use force.
Putin told reporters on Tuesday that the plan "can work, only in the event that we hear that the American side and those who support the U.S.A, in this sense, reject the use of force."
President Barack Obama has thrown his support behind a French resolution to the U.N. Security Council even as he pushes the idea of U.S. airstrikes against Assad's regime if that effort fails.
The resolution would demand that Syria open its chemical weapons program to inspection, place it under international control, and ultimately dismantle it.
Vita si nyepesi kama wengi wanavyodhani. Kila vita inayopiganwa na Mataifa makubwa athari zake zinatufikia hadi kwetu. Hii ni pamoja na kuadimika kwa nishati ya mafuta na vitu vingine.
Lakini pia vita husababisha vifo zaidi na uharibifu. Sasa hivi kuna mamilioni ya wakimbizi wa Syria ambao hawazalishi na inabidi wahudumiwe na fedha ambazo sehemu yake ilibidi zifadhili miradi ya kijamii ktk nchi kama TZ inayotegema misaada ya nchi za magharibi.
Nakubaliana kabisa na Putin. Hatuhitaji vitisho. Tunahitaji vitendo vinavyoashiria amani.