Putin adai kushambuliwa

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
73,235
Reaction score
103,336
Waziri wa mambo ya nje Urusi Bwana Lavlov adai kuwa usiku wa kuamkia leo Ukraini ilijaribu shambulia makazi Putin
Amesema kuwa mazungumzo ya amani yanasitishwa


Hayo yakitokea
Rais wa Ukraini adai Urusi inadanganya na ina lengo la kushambulia majengo ya serikali huko Kyiv

Putin aagiza jeshi la Urusi lisonge mbele na kuchukua jimbo lote la Zaporizhizhia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…