lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Aibu yao wale walikua wakitabiri wachaga hawataenda moshi mwaka huu. Wewe shinda vibarazani na umbea ukiongelea kabila lisilokuhusu, mara ukisema wapiga dili wamenyooshwa mara hawana hela ya kwenda kwao. Ambaye hana hela ni wewe unayeshinda kuongea badala ya kufanya kazi.
Foleni ya dar imehamia moshi jiulize kwa nini? Moshi tunakuja na hela tunazoo nenda kashtaki kokote. Woooooooooiiiii
Foleni ya dar imehamia moshi jiulize kwa nini? Moshi tunakuja na hela tunazoo nenda kashtaki kokote. Woooooooooiiiii