Mpelelezi wa kujitegemea anahitajika
sifa
*awe mkazi wa dsm
*awe na uwezo mkubwa wa kufikiria(creative) na kufanya maamuzi ya haraka
*kufahamu kompyuta, kiingereza, police au sheria ni sifa za ziada
wizi. ndani ya wiki 1 katika sehemu moja(hostel) laptop 5 na simu 8 vimeibwa. Response ya police ni ya kusua sua, we need someone who can get it done fast.
wizi. ndani ya wiki 1 katika sehemu moja(hostel) laptop 5 na simu 8 vimeibwa. Response ya police ni ya kusua sua, we need someone who can get it done fast.
we wa wapi? yaan kazi ya upelelez unaair hovyo hovyo..hii huwa ni cofidential..assume ndo km me ndo nmekwiba hzo machines alaf ndo nkasoma hii thread?..tumia akili!
we wa wapi? yaan kazi ya upelelez unaair hovyo hovyo..hii huwa ni cofidential..assume ndo km me ndo nmekwiba hzo machines alaf ndo nkasoma hii thread?..tumia akili!
wizi. ndani ya wiki 1 katika sehemu moja(hostel) laptop 5 na simu 8 vimeibwa. Response ya police ni ya kusua sua, we need someone who can get it done fast.
Mkuu nakushauri uende nje ya nchi ukapate exposure kidogo, private investigators ndio kazi zao kupeleleza mambo hayo. Serikali yenu inawadanganya kwamba upelelezi ni kazi ambayo haitakiwi kutajwa tajwa......angalia usalama wa taifa wanasaidia nini badala ya ku facilitate wizi?