naombeni msaada juu ya post za vyuo vya afya kama zimeshatoka au bado, na je? nawezaje kujua password niliyoisahau katika profile tulizofungua wakati wa kuapply katika vyuo hivyo
naombeni msaada juu ya post za vyuo vya afya kama zimeshatoka au bado, na je? Nawezaje kujua password niliyoisahau katika profile tulizofungua wakati wa kuapply katika vyuo hivyo
Deadline Ya Kutuma Maombi N Tar 18/ Mwez Huu Na Namna Ya Kutuma N Kua We Tembelea Internet Cafe Yeyote Ukiwa Na Sh 30000 Mpesa Na Elfu Kumi Ya Malipo Lakn Pia Kumbuka Inatakiwa Uwe Na Ufaul Ktk Masom Ya Phz,chem & bios!
Wakuu,
Hivi kama mtu amepewa post ya diploma ya ualimu wa primary hataki kwenda. Je kuna uwezekano wa ha NACTE kumconsider atakapo apply kozi za afya hata kama vigezo anavyo?
Wakuu,
Hivi kama mtu amepewa post ya diploma ya ualimu wa primary hataki kwenda. Je kuna uwezekano wa ha NACTE kumconsider atakapo apply kozi za afya hata kama vigezo anavyo?